Swahili
Surah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) - Aya count 11
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ ﰂ ﴿٣﴾
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ ﰃ ﴿٤﴾
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ ﰄ ﴿٥﴾
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ ﰅ ﴿٦﴾
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ ﰆ ﴿٧﴾
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ ﰇ ﴿٨﴾
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ ﰈ ﴿٩﴾
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ ﰉ ﴿١٠﴾
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?