The best companion that never bores
Surah Al-Qari'ah ( The Striking Hour )

Swahili

Surah Al-Qari'ah ( The Striking Hour ) - Aya count 11

ٱلۡقَارِعَةُ ﰀ ﴿١﴾

Inayo gonga!

مَا ٱلۡقَارِعَةُ ﰁ ﴿٢﴾

Nini Inayo gonga?

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡقَارِعَةُ ﰂ ﴿٣﴾

Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?

يَوۡمَ يَكُونُ ٱلنَّاسُ كَٱلۡفَرَاشِ ٱلۡمَبۡثُوثِ ﰃ ﴿٤﴾

Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;

وَتَكُونُ ٱلۡجِبَالُ كَٱلۡعِهۡنِ ٱلۡمَنفُوشِ ﰄ ﴿٥﴾

Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!

فَأَمَّا مَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ ﰅ ﴿٦﴾

Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,

فَهُوَ فِي عِيشَةٖ رَّاضِيَةٖ ﰆ ﴿٧﴾

Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

وَأَمَّا مَنۡ خَفَّتۡ مَوَٰزِينُهُۥ ﰇ ﴿٨﴾

Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,

فَأُمُّهُۥ هَاوِيَةٞ ﰈ ﴿٩﴾

Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا هِيَهۡ ﰉ ﴿١٠﴾

Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

نَارٌ حَامِيَةُۢ ﰊ ﴿١١﴾

Ni Moto mkali!