Swahili
Surah At-Takathur ( The piling Up ) - Aya count 8
أَلۡهَىٰكُمُ ٱلتَّكَاثُرُ ﰀ ﴿١﴾
Kumekushughulisheni kutafuta wingi,
حَتَّىٰ زُرۡتُمُ ٱلۡمَقَابِرَ ﰁ ﴿٢﴾
كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ ﰂ ﴿٣﴾
Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
ثُمَّ كَلَّا سَوۡفَ تَعۡلَمُونَ ﰃ ﴿٤﴾
Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
كَلَّا لَوۡ تَعۡلَمُونَ عِلۡمَ ٱلۡيَقِينِ ﰄ ﴿٥﴾
Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
لَتَرَوُنَّ ٱلۡجَحِيمَ ﰅ ﴿٦﴾
Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيۡنَ ٱلۡيَقِينِ ﰆ ﴿٧﴾
Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini.
ثُمَّ لَتُسۡـَٔلُنَّ يَوۡمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ ﰇ ﴿٨﴾
Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.