Swahili
Surah Al-Humazah ( The Slanderer ) - Aya count 9
وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ ﰀ ﴿١﴾
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ ﰁ ﴿٢﴾
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ ﰂ ﴿٣﴾
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ ﰃ ﴿٤﴾
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ ﰄ ﴿٥﴾
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ ﰅ ﴿٦﴾
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ ﰆ ﴿٧﴾
إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ ﰇ ﴿٨﴾
Hakika huo utafungiwa nao
فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ ﰈ ﴿٩﴾
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.