The best companion that never bores
Surah Al-Humazah ( The Slanderer )

Swahili

Surah Al-Humazah ( The Slanderer ) - Aya count 9

وَيۡلٞ لِّكُلِّ هُمَزَةٖ لُّمَزَةٍ ﰀ ﴿١﴾

Ole wake kila safihi, msengenyaji!

ٱلَّذِي جَمَعَ مَالٗا وَعَدَّدَهُۥ ﰁ ﴿٢﴾

Aliye kusanya mali na kuyahisabu.

يَحۡسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخۡلَدَهُۥ ﰂ ﴿٣﴾

Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!

كَلَّاۖ لَيُنۢبَذَنَّ فِي ٱلۡحُطَمَةِ ﰃ ﴿٤﴾

Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.

وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحُطَمَةُ ﰄ ﴿٥﴾

Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?

نَارُ ٱللَّهِ ٱلۡمُوقَدَةُ ﰅ ﴿٦﴾

Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.

ٱلَّتِي تَطَّلِعُ عَلَى ٱلۡأَفۡـِٔدَةِ ﰆ ﴿٧﴾

Ambao unapanda nyoyoni.

إِنَّهَا عَلَيۡهِم مُّؤۡصَدَةٞ ﰇ ﴿٨﴾

Hakika huo utafungiwa nao

فِي عَمَدٖ مُّمَدَّدَةِۭ ﰈ ﴿٩﴾

Kwenye nguzo zilio nyooshwa.