Swahili
Surah Al-Fil ( The Elephant ) - Aya count 5
أَلَمۡ تَرَ كَيۡفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصۡحَٰبِ ٱلۡفِيلِ ﰀ ﴿١﴾
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
أَلَمۡ يَجۡعَلۡ كَيۡدَهُمۡ فِي تَضۡلِيلٖ ﰁ ﴿٢﴾
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
وَأَرۡسَلَ عَلَيۡهِمۡ طَيۡرًا أَبَابِيلَ ﰂ ﴿٣﴾
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
تَرۡمِيهِم بِحِجَارَةٖ مِّن سِجِّيلٖ ﰃ ﴿٤﴾
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
فَجَعَلَهُمۡ كَعَصۡفٖ مَّأۡكُولِۭ ﰄ ﴿٥﴾
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!