Swahili
Surah Quraish - Aya count 4
لِإِيلَٰفِ قُرَيۡشٍ ﰀ ﴿١﴾
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
إِۦلَٰفِهِمۡ رِحۡلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيۡفِ ﰁ ﴿٢﴾
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
فَلۡيَعۡبُدُواْ رَبَّ هَٰذَا ٱلۡبَيۡتِ ﰂ ﴿٣﴾
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
ٱلَّذِيٓ أَطۡعَمَهُم مِّن جُوعٖ وَءَامَنَهُم مِّنۡ خَوۡفِۭ ﰃ ﴿٤﴾
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.