Swahili
Surah An-Nasr ( The Help ) - Aya count 3
إِذَا جَآءَ نَصۡرُ ٱللَّهِ وَٱلۡفَتۡحُ ﰀ ﴿١﴾
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
وَرَأَيۡتَ ٱلنَّاسَ يَدۡخُلُونَ فِي دِينِ ٱللَّهِ أَفۡوَاجٗا ﰁ ﴿٢﴾
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
فَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ إِنَّهُۥ كَانَ تَوَّابَۢا ﰂ ﴿٣﴾
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.