وَأَقِيمُواْ ٱلۡوَزۡنَ بِٱلۡقِسۡطِ وَلَا تُخۡسِرُواْ ٱلۡمِيزَانَ ﰈ ﴿٩﴾
Na wekeni mizani kwa haki, wala msipunje katika mizani.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰌ ﴿١٣﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰏ ﴿١٦﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقَيۡنِ وَرَبُّ ٱلۡمَغۡرِبَيۡنِ ﰐ ﴿١٧﴾
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰑ ﴿١٨﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰔ ﴿٢١﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
يَخۡرُجُ مِنۡهُمَا ٱللُّؤۡلُؤُ وَٱلۡمَرۡجَانُ ﰕ ﴿٢٢﴾
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰖ ﴿٢٣﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
وَلَهُ ٱلۡجَوَارِ ٱلۡمُنشَـَٔاتُ فِي ٱلۡبَحۡرِ كَٱلۡأَعۡلَٰمِ ﰗ ﴿٢٤﴾
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰘ ﴿٢٥﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
وَيَبۡقَىٰ وَجۡهُ رَبِّكَ ذُو ٱلۡجَلَٰلِ وَٱلۡإِكۡرَامِ ﰚ ﴿٢٧﴾
Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰛ ﴿٢٨﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
يَسۡـَٔلُهُۥ مَن فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِۚ كُلَّ يَوۡمٍ هُوَ فِي شَأۡنٖ ﰜ ﴿٢٩﴾
Vinamwomba Yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeye yumo katika mambo.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰝ ﴿٣٠﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰟ ﴿٣٢﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
يَٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُواْ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُواْۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَٰنٖ ﰠ ﴿٣٣﴾
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰡ ﴿٣٤﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
يُرۡسَلُ عَلَيۡكُمَا شُوَاظٞ مِّن نَّارٖ وَنُحَاسٞ فَلَا تَنتَصِرَانِ ﰢ ﴿٣٥﴾
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰣ ﴿٣٦﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَإِذَا ٱنشَقَّتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتۡ وَرۡدَةٗ كَٱلدِّهَانِ ﰤ ﴿٣٧﴾
Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰥ ﴿٣٨﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَيَوۡمَئِذٖ لَّا يُسۡـَٔلُ عَن ذَنۢبِهِۦٓ إِنسٞ وَلَا جَآنّٞ ﰦ ﴿٣٩﴾
Siku hiyo hataulizwa dhambi zake mtu wala jini.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰧ ﴿٤٠﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
يُعۡرَفُ ٱلۡمُجۡرِمُونَ بِسِيمَٰهُمۡ فَيُؤۡخَذُ بِٱلنَّوَٰصِي وَٱلۡأَقۡدَامِ ﰨ ﴿٤١﴾
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰩ ﴿٤٢﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
هَٰذِهِۦ جَهَنَّمُ ٱلَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا ٱلۡمُجۡرِمُونَ ﰪ ﴿٤٣﴾
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
يَطُوفُونَ بَيۡنَهَا وَبَيۡنَ حَمِيمٍ ءَانٖ ﰫ ﴿٤٤﴾
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰬ ﴿٤٥﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
وَلِمَنۡ خَافَ مَقَامَ رَبِّهِۦ جَنَّتَانِ ﰭ ﴿٤٦﴾
Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰮ ﴿٤٧﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰰ ﴿٤٩﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰲ ﴿٥١﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰴ ﴿٥٣﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ فُرُشِۭ بَطَآئِنُهَا مِنۡ إِسۡتَبۡرَقٖۚ وَجَنَى ٱلۡجَنَّتَيۡنِ دَانٖ ﰵ ﴿٥٤﴾
Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰶ ﴿٥٥﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فِيهِنَّ قَٰصِرَٰتُ ٱلطَّرۡفِ لَمۡ يَطۡمِثۡهُنَّ إِنسٞ قَبۡلَهُمۡ وَلَا جَآنّٞ ﰷ ﴿٥٦﴾
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰸ ﴿٥٧﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰺ ﴿٥٩﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰼ ﴿٦١﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﰾ ﴿٦٣﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱀ ﴿٦٥﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱂ ﴿٦٧﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱄ ﴿٦٩﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱆ ﴿٧١﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱈ ﴿٧٣﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱊ ﴿٧٥﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
مُتَّكِـِٔينَ عَلَىٰ رَفۡرَفٍ خُضۡرٖ وَعَبۡقَرِيٍّ حِسَانٖ ﱋ ﴿٧٦﴾
Wameegemea juu ya matakia ya kijani na mazulia mazuri.
فَبِأَيِّ ءَالَآءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ﱌ ﴿٧٧﴾
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?