Swahili
Surah At-Takwir ( The Overthrowing ) - Aya count 29
إِذَا ٱلشَّمۡسُ كُوِّرَتۡ ﰀ ﴿١﴾
وَإِذَا ٱلنُّجُومُ ٱنكَدَرَتۡ ﰁ ﴿٢﴾
وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ سُيِّرَتۡ ﰂ ﴿٣﴾
وَإِذَا ٱلۡعِشَارُ عُطِّلَتۡ ﰃ ﴿٤﴾
Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
وَإِذَا ٱلۡوُحُوشُ حُشِرَتۡ ﰄ ﴿٥﴾
Na wanyama wa mwituni wakakusanywa,
وَإِذَا ٱلۡبِحَارُ سُجِّرَتۡ ﰅ ﴿٦﴾
وَإِذَا ٱلنُّفُوسُ زُوِّجَتۡ ﰆ ﴿٧﴾
وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ ﰇ ﴿٨﴾
Na msichana aliye zikwa hai atapo ulizwa,
بِأَيِّ ذَنۢبٖ قُتِلَتۡ ﰈ ﴿٩﴾
وَإِذَا ٱلصُّحُفُ نُشِرَتۡ ﰉ ﴿١٠﴾
Na madaftari yatakapo enezwa,
وَإِذَا ٱلسَّمَآءُ كُشِطَتۡ ﰊ ﴿١١﴾
Na mbingu itapo tanduliwa,
وَإِذَا ٱلۡجَحِيمُ سُعِّرَتۡ ﰋ ﴿١٢﴾
Na Jahannamu itapo chochewa,
وَإِذَا ٱلۡجَنَّةُ أُزۡلِفَتۡ ﰌ ﴿١٣﴾
عَلِمَتۡ نَفۡسٞ مَّآ أَحۡضَرَتۡ ﰍ ﴿١٤﴾
Kila nafsi itajua ilicho kihudhurisha.
فَلَآ أُقۡسِمُ بِٱلۡخُنَّسِ ﰎ ﴿١٥﴾
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
ٱلۡجَوَارِ ٱلۡكُنَّسِ ﰏ ﴿١٦﴾
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
وَٱلَّيۡلِ إِذَا عَسۡعَسَ ﰐ ﴿١٧﴾
Na kwa usiku unapo pungua,
وَٱلصُّبۡحِ إِذَا تَنَفَّسَ ﰑ ﴿١٨﴾
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
إِنَّهُۥ لَقَوۡلُ رَسُولٖ كَرِيمٖ ﰒ ﴿١٩﴾
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
ذِي قُوَّةٍ عِندَ ذِي ٱلۡعَرۡشِ مَكِينٖ ﰓ ﴿٢٠﴾
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
مُّطَاعٖ ثَمَّ أَمِينٖ ﰔ ﴿٢١﴾
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
وَمَا صَاحِبُكُم بِمَجۡنُونٖ ﰕ ﴿٢٢﴾
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
وَلَقَدۡ رَءَاهُ بِٱلۡأُفُقِ ٱلۡمُبِينِ ﰖ ﴿٢٣﴾
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.
وَمَا هُوَ عَلَى ٱلۡغَيۡبِ بِضَنِينٖ ﰗ ﴿٢٤﴾
Wala yeye si bakhili kwa mambo ya ghaibu.
وَمَا هُوَ بِقَوۡلِ شَيۡطَٰنٖ رَّجِيمٖ ﰘ ﴿٢٥﴾
Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.
فَأَيۡنَ تَذۡهَبُونَ ﰙ ﴿٢٦﴾
إِنۡ هُوَ إِلَّا ذِكۡرٞ لِّلۡعَٰلَمِينَ ﰚ ﴿٢٧﴾
Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
لِمَن شَآءَ مِنكُمۡ أَن يَسۡتَقِيمَ ﰛ ﴿٢٨﴾
Kwa yule miongoni mwenu anaye taka kwenda sawa.
وَمَا تَشَآءُونَ إِلَّآ أَن يَشَآءَ ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﰜ ﴿٢٩﴾
Wala nyinyi hamtataka isipo kuwa atake Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote.