Swahili
Surah Al-Infitar ( The Cleaving ) - Aya count 19
إِذَا ٱلسَّمَآءُ ٱنفَطَرَتۡ ﰀ ﴿١﴾
وَإِذَا ٱلۡكَوَاكِبُ ٱنتَثَرَتۡ ﰁ ﴿٢﴾
Na nyota zitapo tawanyika,
وَإِذَا ٱلۡبِحَارُ فُجِّرَتۡ ﰂ ﴿٣﴾
Na bahari zitakapo pasuliwa,
وَإِذَا ٱلۡقُبُورُ بُعۡثِرَتۡ ﰃ ﴿٤﴾
Na makaburi yatapo fukuliwa,
عَلِمَتۡ نَفۡسٞ مَّا قَدَّمَتۡ وَأَخَّرَتۡ ﰄ ﴿٥﴾
Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
يَٰٓأَيُّهَا ٱلۡإِنسَٰنُ مَا غَرَّكَ بِرَبِّكَ ٱلۡكَرِيمِ ﰅ ﴿٦﴾
Ewe mwanaadamu! Nini kilicho kughuri ukamwacha Mola wako Mlezi Mtukufu?
ٱلَّذِي خَلَقَكَ فَسَوَّىٰكَ فَعَدَلَكَ ﰆ ﴿٧﴾
Aliye kuumba, akakuweka sawa, akakunyoosha,
فِيٓ أَيِّ صُورَةٖ مَّا شَآءَ رَكَّبَكَ ﰇ ﴿٨﴾
Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.
كَلَّا بَلۡ تُكَذِّبُونَ بِٱلدِّينِ ﰈ ﴿٩﴾
Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
وَإِنَّ عَلَيۡكُمۡ لَحَٰفِظِينَ ﰉ ﴿١٠﴾
Na hakika bila ya shaka wapo walinzi juu yenu,
كِرَامٗا كَٰتِبِينَ ﰊ ﴿١١﴾
يَعۡلَمُونَ مَا تَفۡعَلُونَ ﰋ ﴿١٢﴾
إِنَّ ٱلۡأَبۡرَارَ لَفِي نَعِيمٖ ﰌ ﴿١٣﴾
Hakika wema bila ya shaka watakuwa katika neema,
وَإِنَّ ٱلۡفُجَّارَ لَفِي جَحِيمٖ ﰍ ﴿١٤﴾
Na hakika waovu bila ya shaka watakuwa Motoni;
يَصۡلَوۡنَهَا يَوۡمَ ٱلدِّينِ ﰎ ﴿١٥﴾
Wataingia humo Siku ya Malipo.
وَمَا هُمۡ عَنۡهَا بِغَآئِبِينَ ﰏ ﴿١٦﴾
Na hawatoacha kuwamo humo.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ ﰐ ﴿١٧﴾
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
ثُمَّ مَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلدِّينِ ﰑ ﴿١٨﴾
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
يَوۡمَ لَا تَمۡلِكُ نَفۡسٞ لِّنَفۡسٖ شَيۡـٔٗاۖ وَٱلۡأَمۡرُ يَوۡمَئِذٖ لِّلَّهِ ﰒ ﴿١٩﴾
Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo ni ya Mwenyezi Mungu tu.