Swahili
Surah Al-Balad ( The City ) - Aya count 20
لَآ أُقۡسِمُ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ ﰀ ﴿١﴾
وَأَنتَ حِلُّۢ بِهَٰذَا ٱلۡبَلَدِ ﰁ ﴿٢﴾
وَوَالِدٖ وَمَا وَلَدَ ﰂ ﴿٣﴾
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
لَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلۡإِنسَٰنَ فِي كَبَدٍ ﰃ ﴿٤﴾
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
أَيَحۡسَبُ أَن لَّن يَقۡدِرَ عَلَيۡهِ أَحَدٞ ﰄ ﴿٥﴾
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
يَقُولُ أَهۡلَكۡتُ مَالٗا لُّبَدًا ﰅ ﴿٦﴾
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
أَيَحۡسَبُ أَن لَّمۡ يَرَهُۥٓ أَحَدٌ ﰆ ﴿٧﴾
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
أَلَمۡ نَجۡعَل لَّهُۥ عَيۡنَيۡنِ ﰇ ﴿٨﴾
Kwani hatukumpa macho mawili?
وَلِسَانٗا وَشَفَتَيۡنِ ﰈ ﴿٩﴾
Na ulimi, na midomo miwili?
وَهَدَيۡنَٰهُ ٱلنَّجۡدَيۡنِ ﰉ ﴿١٠﴾
Na tukambainishia zote njia mbili?
فَلَا ٱقۡتَحَمَ ٱلۡعَقَبَةَ ﰊ ﴿١١﴾
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡعَقَبَةُ ﰋ ﴿١٢﴾
Na nini kitakujuvya ni nini njia ya vikwazo vya milimani?
أَوۡ إِطۡعَٰمٞ فِي يَوۡمٖ ذِي مَسۡغَبَةٖ ﰍ ﴿١٤﴾
يَتِيمٗا ذَا مَقۡرَبَةٍ ﰎ ﴿١٥﴾
أَوۡ مِسۡكِينٗا ذَا مَتۡرَبَةٖ ﰏ ﴿١٦﴾
Au masikini aliye vumbini.
ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلصَّبۡرِ وَتَوَاصَوۡاْ بِٱلۡمَرۡحَمَةِ ﰐ ﴿١٧﴾
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
أُوْلَٰٓئِكَ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَيۡمَنَةِ ﰑ ﴿١٨﴾
Hao ndio watu wa kheri wa kuliani.
وَٱلَّذِينَ كَفَرُواْ بِـَٔايَٰتِنَا هُمۡ أَصۡحَٰبُ ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ ﰒ ﴿١٩﴾
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
عَلَيۡهِمۡ نَارٞ مُّؤۡصَدَةُۢ ﰓ ﴿٢٠﴾
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.