Swahili
Surah Al-Layl ( The Night ) - Aya count 21
وَٱلَّيۡلِ إِذَا يَغۡشَىٰ ﰀ ﴿١﴾
Naapa kwa usiku unapo funika!
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ ﰁ ﴿٢﴾
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلۡأُنثَىٰٓ ﰂ ﴿٣﴾
Na kwa Aliye umba dume na jike!
إِنَّ سَعۡيَكُمۡ لَشَتَّىٰ ﰃ ﴿٤﴾
Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.
فَأَمَّا مَنۡ أَعۡطَىٰ وَٱتَّقَىٰ ﰄ ﴿٥﴾
Ama mwenye kutoa na akamchamngu,
وَصَدَّقَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ ﰅ ﴿٦﴾
Na akaliwafiki lilio jema,
فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡيُسۡرَىٰ ﰆ ﴿٧﴾
Tutamsahilishia yawe mepesi.
وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسۡتَغۡنَىٰ ﰇ ﴿٨﴾
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
وَكَذَّبَ بِٱلۡحُسۡنَىٰ ﰈ ﴿٩﴾
Na akakanusha lilio jema,
فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلۡعُسۡرَىٰ ﰉ ﴿١٠﴾
Tutamsahilishia yawe mazito!
وَمَا يُغۡنِي عَنۡهُ مَالُهُۥٓ إِذَا تَرَدَّىٰٓ ﰊ ﴿١١﴾
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
إِنَّ عَلَيۡنَا لَلۡهُدَىٰ ﰋ ﴿١٢﴾
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
وَإِنَّ لَنَا لَلۡأٓخِرَةَ وَٱلۡأُولَىٰ ﰌ ﴿١٣﴾
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
فَأَنذَرۡتُكُمۡ نَارٗا تَلَظَّىٰ ﰍ ﴿١٤﴾
Basi nakuonyeni na Moto unao waka!
لَا يَصۡلَىٰهَآ إِلَّا ٱلۡأَشۡقَى ﰎ ﴿١٥﴾
Hatauingia ila mwovu kabisa!
ٱلَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ ﰏ ﴿١٦﴾
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
وَسَيُجَنَّبُهَا ٱلۡأَتۡقَى ﰐ ﴿١٧﴾
Na mchamngu ataepushwa nao,
ٱلَّذِي يُؤۡتِي مَالَهُۥ يَتَزَكَّىٰ ﰑ ﴿١٨﴾
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
وَمَا لِأَحَدٍ عِندَهُۥ مِن نِّعۡمَةٖ تُجۡزَىٰٓ ﰒ ﴿١٩﴾
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
إِلَّا ٱبۡتِغَآءَ وَجۡهِ رَبِّهِ ٱلۡأَعۡلَىٰ ﰓ ﴿٢٠﴾
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
وَلَسَوۡفَ يَرۡضَىٰ ﰔ ﴿٢١﴾