Swahili
Surah Al-'alaq ( The Clot ) - Aya count 19
ٱقۡرَأۡ بِٱسۡمِ رَبِّكَ ٱلَّذِي خَلَقَ ﰀ ﴿١﴾
Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
خَلَقَ ٱلۡإِنسَٰنَ مِنۡ عَلَقٍ ﰁ ﴿٢﴾
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
ٱقۡرَأۡ وَرَبُّكَ ٱلۡأَكۡرَمُ ﰂ ﴿٣﴾
Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
ٱلَّذِي عَلَّمَ بِٱلۡقَلَمِ ﰃ ﴿٤﴾
Ambaye amefundisha kwa kalamu.
عَلَّمَ ٱلۡإِنسَٰنَ مَا لَمۡ يَعۡلَمۡ ﰄ ﴿٥﴾
Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui.
كَلَّآ إِنَّ ٱلۡإِنسَٰنَ لَيَطۡغَىٰٓ ﰅ ﴿٦﴾
Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
أَن رَّءَاهُ ٱسۡتَغۡنَىٰٓ ﰆ ﴿٧﴾
إِنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلرُّجۡعَىٰٓ ﰇ ﴿٨﴾
Hakika kwa Mola wako Mlezi ndio marejeo.
أَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي يَنۡهَىٰ ﰈ ﴿٩﴾
Umemwona yule anaye mkataza
عَبۡدًا إِذَا صَلَّىٰٓ ﰉ ﴿١٠﴾
أَرَءَيۡتَ إِن كَانَ عَلَى ٱلۡهُدَىٰٓ ﰊ ﴿١١﴾
Umeona kama yeye yuko juu ya uwongofu?
أَوۡ أَمَرَ بِٱلتَّقۡوَىٰٓ ﰋ ﴿١٢﴾
أَرَءَيۡتَ إِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰٓ ﰌ ﴿١٣﴾
Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
أَلَمۡ يَعۡلَم بِأَنَّ ٱللَّهَ يَرَىٰ ﰍ ﴿١٤﴾
Hajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anaona?
كَلَّا لَئِن لَّمۡ يَنتَهِ لَنَسۡفَعَۢا بِٱلنَّاصِيَةِ ﰎ ﴿١٥﴾
Kwani! Kama haachi, tutamkokota kwa shungi la nywele!
نَاصِيَةٖ كَٰذِبَةٍ خَاطِئَةٖ ﰏ ﴿١٦﴾
Shungi la uwongo, lenye makosa!
فَلۡيَدۡعُ نَادِيَهُۥ ﰐ ﴿١٧﴾
سَنَدۡعُ ٱلزَّبَانِيَةَ ﰑ ﴿١٨﴾
Nasi tutawaita Mazabania!
كَلَّا لَا تُطِعۡهُ وَٱسۡجُدۡۤ وَٱقۡتَرِب۩ ﰒ ﴿١٩﴾
Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!